WIMBO 21
Muendelee Kutafuta Kwanza Ufalme
Maandishi
1. Mungu anapenda sana
Kuuleta Ufalme.
Yesu njo atatawala;
Ataleta baraka.
(REFREE)
Tafuta kwanza Ufalme
na haki ya Yehova.
Umusifu kila siku
na kumutumikia.
2. Tuache kuhangaika:
‘Ni nini tutakula?’
Tukitafuta Ufalme,
Yah atatubariki.
(REFREE)
Tafuta kwanza Ufalme
na haki ya Yehova.
Umusifu kila siku
na kumutumikia.
3. Tuwahubirie wale
Wenye wanastahili.
Watumainie Mungu
na utawala wake.
(REFREE)
Tafuta kwanza Ufalme
na haki ya Yehova.
Umusifu kila siku
na kumutumikia.
(Ona pia Zb. 27:14; Mt. 6:34; 10:11, 13; 1 Pe. 1:21.)