Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 27
  • Kufunuliwa kwa Wana wa Mungu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kufunuliwa kwa Wana wa Mungu
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Utaishi Milele!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Miye Huyu! Unitume!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Kujitayarisha juu ya Kuhubiri
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Wimbo wa Ushindi
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 27

WIMBO 27

Kufunuliwa kwa Wana wa Mungu

Maandishi

(Waroma 8:19)

  1. 1. Sasa watiwa-mafuta

    Watafunuliwa;

    Watatawala mbinguni

    pamoja na Kristo.

    (REFREE)

    Mungu atawafunua

    Wakuwe na Kristo.

    Watajiunga na yeye

    mu ushindi wake.

  2. 2. Wale watiwa-mafuta

    Wenye kubakia,

    Yesu njo atawaita

    Na kuwakusanya.

    (REFREE)

    Mungu atawafunua

    Wakuwe na Kristo.

    Watajiunga na yeye

    mu ushindi wake.

    (KILALO)

    Watapata ushindi kwenye

    Armagedoni.

    Kisha pale njo wataunganishwa

    milele.

    (REFREE)

    Mungu atawafunua

    Wakuwe na Kristo.

    Watajiunga na yeye

    mu ushindi wake.

(Ona pia Da. 2:34, 35; 1 Ko. 15:51, 52; 1 Te. 4:15-17.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine