Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 28
  • Rafiki ya Yehova Ni Nani?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Rafiki ya Yehova Ni Nani?
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Mungu Anataka Uwe Rafiki Yake
    Unaweza Kuwa Rafiki ya Mungu!
  • Unaweza Kuwa Rafiki ya Yehova
    Furahia Maisha Milele!—Ujifunze Biblia kwa Njia ya Mazungumuzo
  • Yehova Ndiye Rafiki Yetu Muzuri Zaidi
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Rafiki Muzuri Ni Nani?
    Amuka!—2014
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 28

WIMBO 28

Rafiki ya Yehova Ni Nani?

Maandishi

(Zaburi 15)

  1. 1. Ni nani rafiki

    yako eh Yehova?

    Nani anakujua weye?

    Nani unapenda?

    Mwenye anasoma

    Neno yako sana,

    Mushikamanifu, na mwenye

    haki na imani.

  2. 2. Nani anaweza

    kukukaribia?

    Nani unajua kwa jina

    na kufurahia?

    Mwenye kukusifu

    na kukusikia,

    Muaminifu tena mwenye

    anasema kweli.

  3. 3. Tunaufungua

    moyo wetu kwako,

    Unatuhangaikiaka

    na unatupenda.

    Tunapenda sana

    kukukaribia.

    Hatuna rafiki mwingine

    kama weye Baba.

(Ona pia Zb. 139:1; 1 Pe. 5:6, 7.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine