WIMBO 47
Usali kwa Yehova Kila Siku
Maandishi
1. Sali kwa Yehova kwa sababu
Anasikiaka sala zetu.
Umufungulie moyo wako.
Mutumainie kila siku.
Usali kila siku.
2. Shukuru Yehova kwa uzima.
Omba akusamehe makosa,
Na utubu zambi zako zote.
Anakujua muzuri sana.
Usali kila siku.
3. Usali wakati wa magumu;
Yehova hawezi kukuacha.
Umuombe akusaidie.
Usiogope; mutegemee.
Usali kila siku.
(Ona pia Zb. 65:5; Mt. 6:9-13; 26:41; Lu. 18:1.)