Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 59
  • Tumusifu Yehova

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tumusifu Yehova
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tumusifu Yehova na Mwana Wake Mutiwa-Mafuta
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tumusifu Yehova Mungu Wetu!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tumusifu Mufalme Mupya wa Dunia
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 59

WIMBO 59

Tumusifu Yehova

Maandishi

(Zaburi 146:2)

  1. 1. Tusifu Yah Kwa sababu

    Yeye njo mwenye alituumba.

    Tumwimbie kila siku.

    Iko mwenye upendo na nguvu.

    Basi, tutangaze jina yake.

  2. 2. Tusifu Yah Kwa sababu

    Anasikiaka sala zetu.

    Anatia nguvu watu

    Wenye walishachoka kabisa.

    Anawapatia roho yake.

  3. 3. Tusifu Yah Kwa sababu

    Anatufariji kila siku.

    Kwa upendo, Atatosha

    Mateso na kuleta baraka.

    Mukuye tumusifu pamoja!

(Ona pia Zb. 94:18, 19; 145:21; 147:1; 150:2; Mdo. 17:25.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine