WIMBO 59
Tumusifu Yehova
Maandishi
1. Tusifu Yah Kwa sababu
Yeye njo mwenye alituumba.
Tumwimbie kila siku.
Iko mwenye upendo na nguvu.
Basi, tutangaze jina yake.
2. Tusifu Yah Kwa sababu
Anasikiaka sala zetu.
Anatia nguvu watu
Wenye walishachoka kabisa.
Anawapatia roho yake.
3. Tusifu Yah Kwa sababu
Anatufariji kila siku.
Kwa upendo, Atatosha
Mateso na kuleta baraka.
Mukuye tumusifu pamoja!
(Ona pia Zb. 94:18, 19; 145:21; 147:1; 150:2; Mdo. 17:25.)