Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 102
  • ‘Musaidie Wale Wenye Kuwa Wazaifu’

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • ‘Musaidie Wale Wenye Kuwa Wazaifu’
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Maoni ya Yehova Juu ya Uzaifu wa Wanadamu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • “Wakati Niko Muzaifu, Ndio Wakati Ninakuwa na Nguvu”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2020
  • Ukuwe Mwenye Nguvu!
    Programu ya Mukusanyiko wa Muzunguko wa 2018-2019​—Pamoja na Mujumbe wa Tawi
  • Namna Tunaweza Kuendelea Kupendana Sana
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2023
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 102

WIMBO 102

‘Musaidie Wale Wenye Kuwa Wazaifu’

Maandishi

(Matendo 20:35)

  1. 1. Hakuna mutu mwenye

    hakoseake.

    Hata vile Yehova

    anatupenda.

    Iko na rehema,

    basi tumuige;

    Na siye tupendane

    kwa moyo wote.

  2. 2. Maneno ya faraja

    na yenye nguvu

    Ni ya lazima sana

    kwa wazaifu.

    Ni watu wa Mungu,

    atawakumbuka.

    Tuwahangaikie

    tusiwaache.

  3. 3. Tena tusifokee

    ndugu na dada.

    Tuwaonyeshe kama

    tunawapenda.

    Tuwasaidie

    na kuwafariji,

    Ili imani yao

    ikuwe nguvu.

(Ona pia Isa. 35:3, 4; 2 Ko. 11:29; Gal. 6:2.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine