Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 110
  • “Shangwe ya Yehova”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • “Shangwe ya Yehova”
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tuimbe Wimbo Mupya
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tumusifu Yehova Mungu Wetu!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Utaishi Milele!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Shangwe—Sifa Yenye Tunapata Kutoka kwa Mungu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2018
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 110

WIMBO 110

“Shangwe ya Yehova”

Maandishi

(Nehemia 8:10)

  1. 1. Tuhubiri habari ya Ufalme,

    Karibuni utafika.

    Tusimame ili tujionee

    Vile tutakombolewa.

    (REFREE)

    Shangwe ya Yehova, Mungu wetu

    Njo kimbilio na nguvu.

    Tufurahie tumaini yetu,

    Tumusifu bila kuacha.

    Basi tufundishe watu wote

    Kama Mungu ni Mukubwa.

    Tutakuwa na furaha milele,

    Kama tunajitoa kwake.

  2. 2. Mungu wetu atakulinda sana;

    Kwa hiyo usiogope.

    Usimame, uimbe kwa sauti,

    Umusifu kwa furaha!

    (Refree)

    Shangwe ya Yehova, Mungu wetu

    Njo kimbilio na nguvu.

    Tufurahie tumaini yetu,

    Tumusifu bila kuacha.

    Basi tufundishe watu wote

    Kama Mungu ni Mukubwa.

    Tutakuwa na furaha milele,

    Kama tunajitoa kwake.

(Ona pia 1 Ny. 16:27; Zb. 112:4; Lu. 21:28; Yoh. 8:32.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine