Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 113
  • Tuko Wenye Amani

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tuko Wenye Amani
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Amani—Namna Gani Unaweza Kuipata?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2018
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 113

WIMBO 113

Tuko Wenye Amani

Maandishi

(Yohana 14:27)

  1. 1. Tumusifu Yehova

    mwenye amani.

    Atamaliza vita

    na maumivu.

    Mukubwa wa amani

    ni Yesu Kristo;

    Atafanya kukuwe

    amani sana.

  2. 2. Maneno ya makali

    tulishaacha.

    Mikuki na mipanga

    tulishatupa.

    Tunafanya amani

    na watu wote.

    Na tuhurumiane

    kila wakati.

  3. 3. Amani tuko nayo

    inashangaza;

    Ni baraka ya Mungu,

    tuko hakika.

    Tutii maagizo

    na tupendane,

    Njo tupate amani

    kutoka juu.

(Ona pia Zb. 46:9; Isa. 2:4; Yak. 3:17, 18.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine