WIMBO 115
Aksanti Yehova kwa Uvumilivu Wako
Maandishi
1. Baba uko na nguvu mingi.
Unapenda haki sana.
Na uko navumilia
Kuona wanatutesa.
Lakini hautakawia,
Utatosha mateso yote.
(REFREE)
Aksanti sana Yehova
Kwa vile utatukomboa.
2. Kwako miaka elfu moja
Iko kama siku moja.
Mwisho unakaribia
wa kuharibu wabaya.
Wakati mutu anatubu
Unafurahiaka sana.
(REFREE)
Aksanti sana Yehova
Kwa vile utatukomboa.
(Ona pia Ne. 9:30; Lu. 15:7; 2 Pe. 3:8, 9.)