WIMBO 116
Fazili Ni Sifa ya Maana Sana
Maandishi
1. Yehova uko na nguvu sana,
Na hekima sana.
Na hata kama uko mukubwa,
Unaonyesha fazili.
2. Yesu Kristo iko anaita
Wenye kuteseka.
Na kwa kuwa iko na fazili
Atawatuliza sana.
3. Basi tukuwe kama Yehova,
Tena kama Yesu.
Tuonyeshe sifa ya fazili
Kwa kusaidia watu.
(Ona pia Mik. 6:8; Mt. 11:28-30; Kol. 3:12; 1 Pe. 2:3.)