Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 116
  • Fazili Ni Sifa ya Maana Sana

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Fazili Ni Sifa ya Maana Sana
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Fazili—Sifa Yenye Kuonyeshwa Kupitia Maneno na Matendo
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2018
  • Acha “Sheria ya Fazili” Ikuongoze
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2022
  • Sifa ya Wema Ni ya Lazima Sana Machoni pa Mungu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 116

WIMBO 116

Fazili Ni Sifa ya Maana Sana

Maandishi

(Waefeso 4:32)

  1. 1. Yehova uko na nguvu sana,

    Na hekima sana.

    Na hata kama uko mukubwa,

    Unaonyesha fazili.

  2. 2. Yesu Kristo iko anaita

    Wenye kuteseka.

    Na kwa kuwa iko na fazili

    Atawatuliza sana.

  3. 3. Basi tukuwe kama Yehova,

    Tena kama Yesu.

    Tuonyeshe sifa ya fazili

    Kwa kusaidia watu.

(Ona pia Mik. 6:8; Mt. 11:28-30; Kol. 3:12; 1 Pe. 2:3.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine