Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 119
  • Tunapaswa Kuwa na Imani

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tunapaswa Kuwa na Imani
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • ‘Utupatie Imani Zaidi’
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Onyesha Imani Yako Katika Ahadi za Yehova
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2016
  • Kwa Imani
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Imani​—Sifa Yenye Inatutia Nguvu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2019
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 119

WIMBO 119

Tunapaswa Kuwa na Imani

Maandishi

(Waebrania 10:38, 39)

  1. 1. Zamani Yehova alisema

    Kupitia manabii.

    Leo kupitia Yesu Kristo

    Anasema tutubu.

    (REFREE)

    Tuko na imani kweli?

    Kusudi tuokolewe,

    Lazima ikuwe nguvu;

    Na tuionyeshe kwa matendo.

  2. 2. Yesu alisema tuhubiri

    Ufalme kwa watu wote,

    Tena tuwaambie ahadi

    Zote za Mungu wetu.

    (REFREE)

    Tuko na imani kweli?

    Kusudi tuokolewe,

    Lazima ikuwe nguvu;

    Na tuionyeshe kwa matendo.

  3. 3. Imani yetu ni kama ngao,

    Njo maana hatuchoke.

    Karibuni tutaokolewa;

    Basi tusiogope.

    (REFREE)

    Tuko na imani kweli?

    Kusudi tuokolewe,

    Lazima ikuwe nguvu;

    Na tuionyeshe kwa matendo.

(Ona pia Ro. 10:10; Efe. 3:12; Ebr. 11:6; 1 Yoh. 5:4.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine