Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 124
  • Tukuwe Washikamanifu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tukuwe Washikamanifu
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Upendo Mushikamanifu wa Yehova Uko na Faida Gani Kwako?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2021
  • Unafurahia Upendo Mushikamanifu Kama Yehova?
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
  • Uige Mufano wa Watumishi Waaminifu wa Yehova
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2016
  • Iga Upendo Mushikamanifu wa Yehova
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 124

WIMBO 124

Tukuwe Washikamanifu

Maandishi

(Zaburi 18:25)

  1. 1. Tumutii Mungu wetu,

    tushikamane naye.

    Mashauri yake yote

    ni ya lazima sana.

    Basi tumusikilize

    na kumutegemea;

    Kwa sababu tunajua,

    ni mushikamanifu.

  2. 2. Tuwapende ndugu zetu,

    tushikamane nao.

    Na wakati wa magumu

    tuwaunge mukono.

    Hata nini itokee

    tusiwaachilie.

    Kwa maneno na matendo

    hatutawasahau.

  3. 3. Tufuate maagizo,

    tushikamane nayo;

    Inatoka kwa wazee

    wenye wanatupenda.

    Basi tuwaheshimie

    ili tukuwe nguvu.

    Na Yehova Mungu wetu

    atatupenda sana.

(Ona pia Zb. 149:1; 1 Ti. 2:8; Ebr. 13:17.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine