Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 130
  • Tusameheane

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tusameheane
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • ‘Yehova Aliwasamehe kwa Hiari [ao kwa Kupenda]’
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Tuwe Tayari Kusameheana
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Yehova Anabariki Wale Wenye Wanasamehe
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2022
  • Yehova Ni Mushikamanifu na Mwenye Kusamehe
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 130

WIMBO 130

Tusameheane

Maandishi

(Zaburi 86:5)

  1. 1. Mungu alituma

    Yesu atukomboe

    Katika zambi na kifo,

    ili tukuwe huru.

    Kama tunatubu kweli,

    na kusali kwa Mungu,

    Kupitia Yesu Kristo,

    atatuhurumia.

  2. 2. Kama tunapenda

    Mungu atusamehe,

    Ni lazima tumuige,

    kwa kusameheana.

    Tupendane kila siku,

    na kuvumiliana.

    Na tukiheshimiana,

    tutakaribiana.

  3. 3. Tunapaswa kuwa

    tayari kusamehe,

    Na kuepuka ugomvi,

    chuki, na kasirani.

    Tukikuwa na upendo,

    Mungu atatupenda,

    Na tutasameheana

    bila kulazimishwa.

(Ona pia Mt. 6:12; Efe. 4:32; Kol. 3:13.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine