Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 139
  • Wazia Uko mu Dunia Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Wazia Uko mu Dunia Mupya
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tuimbe Wimbo wa Ufalme!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Mumupatie Yehova Utukufu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tumusifu Yehova Mungu Wetu!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Maisha ya Painia
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 139

WIMBO 139

Wazia Uko mu Dunia Mupya

Maandishi

(Ufunuo 21:1-5)

  1. 1. Uwazie kila siku

    Uko na miye mu Paradiso;

    Hauchoke na maisha.

    Muko amani na furaha;

    Na Ufalme wa Yehova

    Unatawala fasi yote;

    Na hakuna tena watu wabaya.

    Tutamuimbia Mungu kwa furaha:

    (REFREE)

    “Yehova, Mungu, aksanti sana.

    Sasa mambo inabadilika.

    Tunakuimbia ili kukusifu,

    Kukuheshimia na kukushukuru.”

  2. 2. Pima tena kuwazia

    Tuko sasa mu dunia mupya,

    Na hamuna maumivu,

    Hamuna woga wala kifo.

    Sasa waza, unaona

    Ndugu yako anafufuka.

    Ahadi za Mungu zinatimia!

    Tutakumbatiana na tutaimba:

    (REFREE)

    “Yehova, Mungu, aksanti sana.

    Sasa mambo inabadilika.

    Tunakuimbia ili kukusifu,

    Kukuheshimia na kukushukuru.”

(Ona pia Zb. 37:10, 11; Isa. 65:17; Yoh. 5:28; 2 Pe. 3:13.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine