Andika Majibu ya Maulizo Haya:
Ni amri gani iliyo kubwa kuliko zote, na sababu gani amri hiyo ni ya maana? (Mt. 22:37, 38; Mk. 12:30)
Namna gani tunaweza kuepuka kupenda ulimwengu? (1 Yoh. 2:15-17)
Namna gani tunaweza kufundisha wengine “kulipenda jina la Yehova”? (Isa. 56:6, 7)
Namna gani tunaweza kuonyesha upendo wa kindugu wenye hauna unafiki? (1 Yoh. 4:21)
Namna gani wazazi wanaweza kuwafundisha watoto wao wamupende Yehova? (Kum. 6:4-9)
Namna gani tunaweza kuonyesha kwamba Yehova ndiye Rafiki yetu mukubwa? (1 Yoh. 5:3)
Namna gani tunaweza kuendelea kuwa ao kurudilia upendo wetu kwa Yehova? (Ufu. 2:4, 5)