SEHEMU YA TANO
“Nitakaa Kati ya Watu”—Ibada Safi ya Yehova Inarudishwa
WAZO KUBWA: Sehemu za maana za hekalu lenye lilionwa mu maono na somo zenye zile sehemu zinatupatia kuhusu ibada safi
Yehova alipatia nabii Ezekieli na mutume Yohana maono yenye inafanana mu njia ya kushangaza. Mambo ya maana ya ile maono inatupatia somo za maana zenye zinatusaidia kumuabudu Yehova mu njia yenye anakubali sasa na zenye zinatupatia picha kidogo ya namna maisha itakuwa mu Paradiso chini ya Ufalme wa Mungu.