KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 8B
Maunabii Tatu Juu ya Masiya
1. “Ule Mwenye Kuwa na Haki ya Kisheria” (Ezekieli 21:25-27)
NYAKATI ZA MATAIFA (607 M.K.Y.–1914 K.K.Y.)
607 M.K.Y.—Sedekia anatoshwa ku kiti cha ufalme
1914 K.K.Y.—Yesu, mwenye kuwa na “haki ya kisheria” ya kupewa Ufalme wa Kimasiya, anawekwa kuwa Mufalme, na anakuwa Mutawala-Muchungaji
Rudia ku sura ya 8, fungu la 12-15
2. “Mutumishi Wangu . . . Atawakulisha Yeye Mwenyewe na Kuwa Muchungaji Wao” (Ezekieli 34:22-24)
SIKU ZA MWISHO (1919 K.K.Y.–KISHA ARMAGEDONI)
1914 K.K.Y.—Yesu, mwenye kuwa na “haki ya kisheria” ya kupewa Ufalme wa Kimasiya, anawekwa kuwa Mufalme, na anakuwa Mutawala-Muchungaji
1919 K.K.Y.—Mutumwa muaminifu na mwenye busara anawekwa juu ya kuchunga kondoo wa Mungu
Watiwa-mafuta waaminifu wanakusanywa pamoja chini ya uongozi wa Masiya-Mufalme; kisha wanaunganishwa na kundi kubwa la watu
KISHA ARMAGEDONI—Baraka za utawala wa ule Mufalme zitadumu milele
Rudia ku sura ya 8, fungu la 18-22
3. “Mufalme Mumoja Atawatawala Wote” Milele (Ezekieli 37:22, 24-28)
SIKU ZA MWISHO (1919 K.K.Y.–KISHA ARMAGEDONI)
1914 K.K.Y.—Yesu, mwenye kuwa na “haki ya kisheria” ya kupewa Ufalme wa Kimasiya, anawekwa kuwa Mufalme, na anakuwa Mutawala-Muchungaji
1919 K.K.Y.—Mutumwa muaminifu na mwenye busara anawekwa juu ya kuchunga kondoo wa Mungu
Watiwa-mafuta waaminifu wanakusanywa pamoja chini ya uongozi wa Masiya-Mufalme; kisha wanaunganishwa na kundi kubwa la watu
KISHA ARMAGEDONI—Baraka za utawala wa ule Mufalme zitadumu milele