Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • rr uku. 88-89
  • 8B Maunabii Tatu Juu ya Masiya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • 8B Maunabii Tatu Juu ya Masiya
  • Ibada Safi ya Yehova Inarudishwa Tena!
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • 1. “Ule Mwenye Kuwa na Haki ya Kisheria” (Ezekieli 21:25-27)
  • 2. “Mutumishi Wangu . . . Atawakulisha Yeye Mwenyewe na Kuwa Muchungaji Wao” (Ezekieli 34:22-24)
  • 3. “Mufalme Mumoja Atawatawala Wote” Milele (Ezekieli 37:22, 24-28)
  • “Nitainua Muchungaji Mumoja”
    Ibada Safi ya Yehova Inarudishwa Tena!
  • 1914​—Ni Mwaka wa Maana Sana Katika Unabii wa Biblia
    Biblia Inafundisha Kabisa Nini?
  • Ufalme wa Masiya Umetimiza Nini Katika Miaka Hii 100?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • 11A Walinzi Fulani Wenye Ni Mufano Muzuri
    Ibada Safi ya Yehova Inarudishwa Tena!
Ibada Safi ya Yehova Inarudishwa Tena!
rr uku. 88-89

KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 8B

Maunabii Tatu Juu ya Masiya

Maandishi

1. “Ule Mwenye Kuwa na Haki ya Kisheria” (Ezekieli 21:25-27)

NYAKATI ZA MATAIFA (607 M.K.Y.–1914 K.K.Y.)

  1. 607 M.K.Y.​—Sedekia anatoshwa ku kiti cha ufalme

  2. 1914 K.K.Y.​—Yesu, mwenye kuwa na “haki ya kisheria” ya kupewa Ufalme wa Kimasiya, anawekwa kuwa Mufalme, na anakuwa Mutawala-Muchungaji

Rudia ku sura ya 8, fungu la 12-15

2. “Mutumishi Wangu . . . Atawakulisha Yeye Mwenyewe na Kuwa Muchungaji Wao” (Ezekieli 34:22-24)

SIKU ZA MWISHO (1919 K.K.Y.–KISHA ARMAGEDONI)

  1. 1914 K.K.Y.​—Yesu, mwenye kuwa na “haki ya kisheria” ya kupewa Ufalme wa Kimasiya, anawekwa kuwa Mufalme, na anakuwa Mutawala-Muchungaji

  2. 1919 K.K.Y.​—Mutumwa muaminifu na mwenye busara anawekwa juu ya kuchunga kondoo wa Mungu

    Watiwa-mafuta waaminifu wanakusanywa pamoja chini ya uongozi wa Masiya-Mufalme; kisha wanaunganishwa na kundi kubwa la watu

  3. KISHA ARMAGEDONI​—Baraka za utawala wa ule Mufalme zitadumu milele

Rudia ku sura ya 8, fungu la 18-22

3. “Mufalme Mumoja Atawatawala Wote” Milele (Ezekieli 37:22, 24-28)

SIKU ZA MWISHO (1919 K.K.Y.–KISHA ARMAGEDONI)

  1. 1914 K.K.Y.​—Yesu, mwenye kuwa na “haki ya kisheria” ya kupewa Ufalme wa Kimasiya, anawekwa kuwa Mufalme, na anakuwa Mutawala-Muchungaji

  2. 1919 K.K.Y.​—Mutumwa muaminifu na mwenye busara anawekwa juu ya kuchunga kondoo wa Mungu

    Watiwa-mafuta waaminifu wanakusanywa pamoja chini ya uongozi wa Masiya-Mufalme; kisha wanaunganishwa na kundi kubwa la watu

  3. KISHA ARMAGEDONI​—Baraka za utawala wa ule Mufalme zitadumu milele

Rudia ku sura ya 8, fungu la 23-26

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine