KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 13A
Mahekalu Tofauti, Somo Tofauti
Hekalu lenye Ezekieli alionaka mu maono:
Ezekieli njo alilifasiria wahamishwa Wayahudi kule Babiloni
Liko na mazabahu kwenye zabihu mingi zinatolewa
Linaonyesha kanuni za haki za Yehova kwa ajili ya ibada
Linakazia kurudishwa kwa ibada safi kwenye kulianza mu 1919
Hekalu Kubwa la Kiroho:
Lilifasiriwa na Paulo, mu barua yenye aliandikia Wakristo Waebrania
Liko na mazabahu kwenye zabihu moja tu ilitolewa, “mara moja kwa wakati wote” (Ebr. 10:10)
Linafasiria uhalisi wa kiroho wenye tabenakulo na mahekalu ilikuwa inaonyesha tangu zamani—mupango wa Yehova kwa ajili ya ibada safi wenye unategemea zabihu ya ukombozi ya Kristo
Linakazia kazi yenye Kristo alifanya akiwa Kuhani Mukubwa Zaidi kuanzia 29 mupaka 33 K.K.Y.