Andika Majibu ya Maulizo Haya:
“Sheria ya Kristo” ni nini? (Gal. 6:2)
Namna gani tunaweza kutimiza sheria ya Kristo wakati watu hawatuone? (1 Kor. 10:31)
Namna gani tunatimiza sheria ya Kristo katika mahubiri? (Lu. 16:10; Mt. 22:39; Mdo. 20:35)
Ni nini inafanya sheria ya Kristo ikuwe ya muzuri zaidi kuliko Sheria ya Musa? (1 Pet. 2:16)
Namna gani bibi na bwana na wazazi wanaweza kutimiza sheria ya Kristo katika familia yao? (Efe. 5:22, 23, 25; Ebr. 5:13, 14)
Namna gani munaweza kutimiza sheria ya Kristo kwenye masomo? (Zab. 1:1-3; Yoh. 17:14)
Namna gani tunaweza kupenda wengine kama vile Yesu alitupenda? (Gal. 6:1-5, 10)