Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • CA-brpgm18 uku. 3-4
  • Andika Majibu ya Maulizo Haya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Andika Majibu ya Maulizo Haya
  • Programu ya Mukusanyiko wa Muzunguko wa 2017-2018—Pamoja na Mujumbe wa tawi
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Maulizo ya Wasomaji Wetu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2021
  • Upendo na Haki Katika Kutaniko la Kikristo
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2019
  • Usiache Hata Kidogo Kutimiza Sheria ya Kristo!
    Programu ya Mukusanyiko wa Muzunguko wa 2017-2018—Pamoja na Mujumbe wa tawi
Programu ya Mukusanyiko wa Muzunguko wa 2017-2018—Pamoja na Mujumbe wa tawi
CA-brpgm18 uku. 3-4

Andika Majibu ya Maulizo Haya:

  1. “Sheria ya Kristo” ni nini? (Gal. 6:2)

  2. Namna gani tunaweza kutimiza sheria ya Kristo wakati watu hawatuone? (1 Kor. 10:31)

  3. Namna gani tunatimiza sheria ya Kristo katika mahubiri? (Lu. 16:10; Mt. 22:39; Mdo. 20:35)

  4. Ni nini inafanya sheria ya Kristo ikuwe ya muzuri zaidi kuliko Sheria ya Musa? (1 Pet. 2:16)

  5. Namna gani bibi na bwana na wazazi wanaweza kutimiza sheria ya Kristo katika familia yao? (Efe. 5:22, 23, 25; Ebr. 5:13, 14)

  6. Namna gani munaweza kutimiza sheria ya Kristo kwenye masomo? (Zab. 1:1-3; Yoh. 17:14)

  7. Namna gani tunaweza kupenda wengine kama vile Yesu alitupenda? (Gal. 6:1-5, 10)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine