Andika Majibu ya Maulizo Haya:
Tunapaswa kuomba musaada wapi ili tupate uwezo na nguvu? (Yos. 1:9; Zb. 68:35)
Namna gani tunaweza kuendelea kujenga imani yenye nguvu? (Ebr. 11:6)
Sababu gani tunapaswa kuwa hakika kama Yehova atatuunga mukono katika kazi yenye ametupatia? (Hag. 2:4-9)
Wakati tunapambana na majaribu makali, namna gani Yehova anatupatia nguvu? (Zb. 18:6, 30; Kol. 4:10, 11, maelezo ya chini.)
Ni nini inaweza kusaidia vijana na bibi na bwana waunge mukono mamlaka makubwa zaidi ya Yehova? (Mt. 22:37, 39)
Namna gani tunaweza “kusimama imara katika imani” na “kuwa na nguvu”? (1 Kor. 16:13; Rom. 15:5; Ebr. 5:11–6:1; 12:16, 17)
© 2018 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania