Utafute Majibu ya hii Maulizo:
1. Namna gani ‘tunamungojea Yehova kwa hamu’? (Zb. 130:5, 6)
2. Namna gani tunaweza kumungojea Yehova kwa hamu wakati wa magumu? (Hab. 2:3, 4; 2 Ti. 4:2; Lu. 2:36-38)
3. Namna gani tunaweza kutumia wakati wetu kwa hekima saa tuko nangojea siku ya Yehova? (2 Pe. 3:11-13)
4. Juu ya nini tunaweza kumungojea Yehova na kumutumainia wakati tuko na magumu? (Zb. 62:1, 2, 8, 10; 68:6; 130:2-4)
5. Tunapaswa kufanya nini juu tupate “zawabu ya mwenye haki”? (Zb. 58:11)
© 2023 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
CA-copgm24-ZS