Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w12 1/7 uku. 30-31
  • Mungu Anayechukia Ukosefu wa Haki

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mungu Anayechukia Ukosefu wa Haki
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Musa Apokea Mgawo wa Pekee
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Waokolewa Kutoka Kwenye Tanuru ya Moto!
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Tetea Ibada ya Kweli!
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Jilinde Dhidi ya Roho Waovu!
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
w12 1/7 uku. 30-31

Kwa Ajili ya Vijana

Mungu Anayechukia Ukosefu wa Haki

Maagizo: Ufanye mazoezi haya mahali pa utulivu. Unaposoma maandiko, wazia kama unatazama namna matukio hayo yalivyofuatana. Ona matukio hayo akilini mwako. Sikia sauti za watu wanaozungumuziwa na ujisikie namna walivyojisikia. Fanya kama ulikuwa hapo na unaona namna mambo yanavyotendeka.

Watu wanaozungumuziwa sana katika habari hii: Ahabu, Yezebeli, Nabothi, na Eliya

Kwa kifupi: Yezebeli alimusukuma Mufalme Ahabu amuuwe Nabothi ili achukue shamba lake la mizabibu.

1 CHUNGUZA MATUKIO HAYO.​—SOMA 1 WAFALME 21:1-26.

Unawaza watu ine wanaozungumuziwa katika habari hii walikuwa watu wa namna gani?

Ahabu ․․․․․

Yezebeli ․․․․․

Nabothi ․․․․․

Eliya ․․․․․

Unawaza sauti ya Yezebeli na Ahabu katika mustari wa 5-7 ilikuwa ya namna gani?

․․․․․

Eleza fujo iliyotokea kulingana na mustari wa 13, kama unavyowazia.

․․․․․

Unawaza sauti na sura ya Eliya na Ahabu ni ya namna gani wakati wa mabishano yao yanayoelezwa katika mustari wa 20-26?

․․․․․

2 TAFUTA KUJUA ZAIDI.

Yezebeli anaonyesha sifa gani mbaya katika mustari wa 7 na wa 25?

․․․․․

Ahabu anaonyesha sifa gani mbaya katika mustari wa 4?

․․․․․

Ili kukamata shamba la mizabibu la Nabothi, ni nani wengine ambao Ahabu alilazimika kuua? (Soma 2 Wafalme 9:24-26.)

․․․․․

Ahabu alikuwa mutu wa namna gani machoni pa Yehova? (Soma tena mustari wa 25 na 26. Soma pia 1 Wafalme 16:30-33.)

․․․․․

3 TUMIA MAMBO ULIYOJIFUNZA. ANDIKA MAMBO ULIYOJIFUNZA JUU YA . . .

Namna Yehova alivyo tayari kuona matendo ya ukosefu wa haki.

․․․․․

Namna Yehova anavyohangaikia wale ambao wametendewa isivyo haki.

․․․․․

Namna Yehova anavyoonyesha kama yeye ni Mungu wa haki. (Soma Kumbukumbu la Torati 32:4.)

․․․․․

4 NAMNA NYINGINE UNAVYOWEZA KUTUMIA HABARI HII.

Namna gani watu fulani leo wanaweza kuonyesha roho kama ya Yezebeli? (Soma Ufunuo 2:18-21.)

․․․․․

Kama Eliya, unaweza kuonyesha moyo usio na woga katika hali gani?

․․․․․

Unaweza kuwa na uhakika gani unapoona vitendo vya ukosefu wa haki ao unapotendewa isivyo haki?

․․․․․

5 NI MAMBO GANI KATIKA HABARI HII YANAYOKUGUSA MOYO SANA, NA SABABU GANI?

․․․․․

Pendekezo: Eleza habari hii kama mutangazaji wa habari. Sema namna mambo yalivyotendeka, na ufanye kama unawauliza maulizo wale watu ine wanaozungumuziwa sana na watu wengine ambao walikuwa hapo wakati mambo hayo yalitendeka.

Ufungue www.jw.org

Usome Biblia kwenye internete

Upakue ao kuchapisha habari hii

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine