Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w14 1/7 uku. 16
  • Maulizo Juu Ya Habari Za Biblia Yanajibiwa

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Maulizo Juu Ya Habari Za Biblia Yanajibiwa
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Kumukaribia Mungu Karibu Katika Sala
    Mungu Anataka Nini Kwetu?
  • Sala Ni Zawadi Kutoka kwa Mungu
    Biblia Inatufundisha Nini?
  • Go Rapela Modimo go Nyoko go Šutetsa Thina Naye
    Furahia Maisha Milele!—Ujifunze Biblia kwa Njia ya Mazungumuzo
  • Namna ya Kumukaribia Mungu Katika Sala
    Biblia Inafundisha Kabisa Nini?
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
w14 1/7 uku. 16
Mwanaume mwenye kuzeeka anayesali

MAULIZO JUU YA HABARI ZA BIBLIA YANAJIBIWA

Sababu gani tunapaswa kusali?

Yehova Mungu anataka tujisikie huru kuzungumuza naye kwa ukawaida juu ya mahangaiko yetu. (Luka 18:1-7) Anatusikiliza kwa kuwa anatupenda. Kwa sababu Baba yetu wa mbinguni anatuomba kwa upendo tusali, linaweza kuwa jambo la upumbavu kukataa kusali kwake.—Soma Wafilipi 4:6.

Sala haiko tu njia ya kuomba musaada. Lakini, inatusaidia kumukaribia Mungu. (Zaburi 8:3, 4) Wakati tunamuelezea Mungu kwa ukawaida namna tunajisikia moyoni, tunakuwa na urafiki wa sana pamoja naye.—Soma Yakobo 4:8.

Tunapaswa kusali namna gani?

Wakati tunasali, Mungu hapendi tutumie maneno ya kujionyesha ao kurudilia sala tulizoweka katika akili. Na hatuombe kuwa katika kikao fulani, ni kusema, kuwa wenye kukaa, kulala, ao kusimama. Yehova anatuomba tusali kutoka moyoni. (Mathayo 6:7) Kwa mufano, katika Israeli ya zamani, Hana alisali juu ya tatizo la familia yake lililomuhangaisha. Kisha, wakati huzuni yake iligeuka kuwa furaha, alimushukuru Mungu kupitia sala yenye kutoka moyoni.—Soma 1 Samweli 1:10, 12, 13, 26, 27; 2:1.

Tuko na pendeleo nzuri sana! Tunaweza kumukaribia Mungu na kumuelezea mahangaiko yetu. Tunaweza pia kumusifu na kumushukuru kwa mambo anayofanya. Kwa kweli hatupaswe kupuuza pendeleo nzuri sana kama hilo.—Soma Zaburi 145:14-16.

Ili kupata habari zingine, soma sura ya 17 ya kitabu hiki, kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova

Unaweza kupata kitabu hiki kwenye adresi yetu ya Internete www.jw.org

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine