Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w14 1/11 uku. 16
  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Sababu gani Yesu alifufua watu?
  • Kutakuwa Ufufuo!
    Biblia Inatufundisha Nini?
  • Tumaini la Kweli juu ya Watu Tuliowapenda Waliokufa
    Biblia Inafundisha Kabisa Nini?
  • Watu wa Familia na Marafiki Wako Wenye Walishakufa Wanaweza Kuishi Tena!
    Furahia Maisha Milele!—Ujifunze Biblia kwa Njia ya Mazungumuzo
  • Maulizo juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
w14 1/11 uku. 16

MAULIZO JUU YA HABARI ZA BIBLIA YANAJIBIWA

Kweli Yesu alifufua watu?

Yesu anafufua Lazaro, anamuita atoke katika kaburi

Yesu alifufua Lazaro, aliyekuwa amefanya siku ine katika kaburi

Biblia inasema waziwazi kama Yesu alifufua watu waliokuwa wamekufa. Habari hizo haziko za kuwazia tu; mambo hayo yalifanyika mahali na wakati wa kweli. Kwa mufano, wakati wa kiangazi cha mwaka wa 31, kikundi kikubwa cha watu kilisafiri pamoja na Yesu kutoka Kapernaumu mupaka Naini. Walipofika huko, walikutana na kikundi kingine. Unaweza kuamini habari ya ufufuo uliofanywa kisha hapo kwa sababu inaandikwa katika Neno la Mungu, Biblia, na kwa sababu ufufuo huo ulifanywa mbele ya mashahidi hao wote.—Soma Luka 7:11-15.

Yesu alifufua pia rafiki yake Lazaro, aliyekuwa amefanya siku ine katika kaburi. Unaweza kuamini habari juu ya jambo Yesu alifanya siku hiyo kwa sababu jambo hilo pia lilionwa na mashahidi wengi.—Soma Yohana 11:39-45.

Sababu gani Yesu alifufua watu?

Yesu alifufua watu kwa sababu alichochewa na huruma. Pia alifanya vile ili kuonyesha kama Baba yake, Muumbaji wa uzima, alikuwa amemupatia uwezo juu ya kifo.—Soma Yohana 5:21, 28, 29.

Ufufuo mbalimbali Yesu alifanya unatupatia uhakika juu ya ahadi zake za wakati unaokuja. Yesu atafufua watu wengi sana, kutia ndani watu wasio haki wenye hawakujua kitu chochote juu ya Mungu wa kweli. Watapewa nafasi ya kumujua na kumupenda Yehova Mungu.—Soma Matendo 24:15.

Ili kupata habari zingine, soma sura ya 7 ya kitabu hiki, kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova

SOMA MAJIBU YA MAULIZO MENGINE JUU YA HABARI ZA BIBLIA KWENYE INTERNETEwww.jw.org

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine