Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w15 1/12 uku. 16
  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Ni Kitabu Gani Chenye Kinatusaidia Kumusikiliza Mungu?
    Umusikilize Mungu ili Uishi Milele
  • Kujua Kweli Kunaweza Kukuletea Faida Gani?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2020
  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • ‘Endelea Kutembea Katika Kweli’
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2022
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
w15 1/12 uku. 16

MAULIZO JUU YA HABARI ZA BIBLIA YANAJIBIWA

Tunaweza kujua kweli juu ya Mungu?

Shahidi mumoja wa Yehova anahubiria mutu katika bustani

Sababu Gani Mungu Anapenda Tujue Kweli? Soma Yohana 17:3

Mungu alizungumuza na watu. Alitumia roho yake takatifu, ao nguvu yake ya utendaji, ili kuweka mawazo yake katika akili ya waandikaji wa Biblia. (2 Petro 1:20, 21) Tunaweza kujua kweli juu ya Mungu kwa kusoma Biblia.—Soma Yohana 17:17; 2 Timotheo 3:16.

Katika Biblia, Mungu anafunua mambo mengi juu yake. Anaonyesha sababu gani aliumba watu, mambo yenye atawafanyia, na namna anapenda tuishi. (Matendo 17:24-27) Yehova Mungu anapenda tujue kweli juu yake.—Soma 1 Timotheo 2:3, 4.

Sababu gani Mungu anakubali watu wenye kupenda kweli?

Yehova ni Mungu wa kweli, na alituma Mwana wake, Yesu, ili afundishe watu kweli. Kwa hiyo, watu wenye kupenda kweli wanavutwa kwa Yesu. (Yohana 18: 37) Mungu anataka watu kama hao wakuwe waabudu wake.—Soma Yohana 4:23, 24.

Shetani Ibilisi amezuia watu wengi kumujua Mungu kwa kueneza mafundisho ya uongo juu ya Mungu. (2 Wakorintho 4:3, 4) Watu wenye hawapendi kweli wanavutiwa na mafundisho hayo. (Waroma 1:25) Lakini, mamilioni ya watu wenye kuwa na moyo muzuri wako wanapata kweli juu ya Mungu kwa kujifunza Biblia.—Soma Matendo 17:11.

Ili kupata habari zingine, soma sura ya 1 ya kitabu hiki,

chenye kilichapishwa na Mashahidi wa Yehova

Also available at www.jw.org

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine