Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • wp16 na. 2 uku. 16
  • Biblia Inasema Nini?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Biblia Inasema Nini?
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2016
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Shetani ni nani ao ni nini?
  • Shetani anaweza kuongoza watu?
  • Maulizo juu ya habari za Biblia yanajibiwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Je, Shetani Anaweza Kuwatawala Wanadamu?
    Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
  • Ni Nani Hasa Anayeutawala Ulimwengu?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Je, Shetani Iko Kabisa?
    Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2016
wp16 na. 2 uku. 16

Biblia Inasema Nini?

Shetani ni nani ao ni nini?

UNAWEZA KUJIBU kama Shetani ni . . .

  • Kiumbe wa roho?

  • Alama ya ubaya wenye kuwa ndani ya mutu?

  • Matokeo ya mawazo ya mutu?

MAMBO BIBLIA INASEMA

Shetani alizungumuza na Yesu na ‘alimujaribu.’ (Mathayo 4: 1-4) Kwa hiyo, Shetani haiko mutu wa kuwazia tu, na haiko tu alama ya ubaya. Ni kiumbe mubaya wa roho.

BIBLIA INATUFUNDISHA TENA NINI?

  • Mwanzoni, Shetani alikuwa malaika mutakatifu, lakini “hakusimama imara katika kweli.” (Yohana 8:44) Alifikia kuwa muongo na akamuasi Mungu.

  • Malaika wengine walijiunga naye katika uasi. —Ufunuo 12:9.

  • Shetani anafunga watu wengi macho ili wasijue kama anaishi kabisa.—2 Wakorintho 4:4.

Shetani anaweza kuongoza watu?

WATU FULANI WANASEMA kama kuongozwa na Shetani ni uongo, lakini wengine wanaogopa sana kuingiwa na roho waovu. Wewe unawaza namna gani?

MAMBO BIBLIA INASEMA

‘Ulimwengu muzima unakaa katika nguvu za yule muovu.’ (1 Yohana 5:19) Shetani anaongoza watu wengi, lakini haongoze kila mutu.

BIBLIA INATUFUNDISHA TENA NINI?

  • Shetani anatumia uongo ili kuongoza watu wengi.—2 Wakorintho 11:14.

  • Katika hali fulani, watu wanaweza kuingiwa na roho waovu.—Mathayo 12:22.

  • Kupitia musaada wa Mungu, unaweza ‘kumupinga Ibilisi [Shetani].’—Yakobo 4:7.

Ili kupata habari zingine, soma sura ya 10 ya kitabu hiki, chenye kilichapishwa na Mashahidi wa Yehova

Kinapatikana pia kwenye adresi yetu ya Internete www.jw.org/swc

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine