Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • wp17 na. 5 uku. 16
  • Biblia Inasema Nini?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Biblia Inasema Nini?
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2017
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Kuko siku kutakuwa amani katika dunia?
  • Inawezekana kuwa na amani ya akili leo?
  • Biblia Inasema Nini?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2017
  • Mungu Anajisikia Namna Gani Juu ya Mateso Yako?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2018
  • Amani—Namna Gani Unaweza Kuipata?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2018
  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2017
wp17 na. 5 uku. 16
Silaha za vita zinaharibiwa

Silaha zote za vita zitaharibiwa

Biblia Inasema Nini?

Kuko siku kutakuwa amani katika dunia?

Unaweza kujibu nini?

  • Ndiyo

  • Hapana

  • Pengine

Mambo Biblia inasema

Chini ya utawala wa Yesu Kristo, kutakuwa ‘wingi wa amani mupaka mwezi utakapokuwa haupo tena,’ ni kusema, milele.​—Zaburi 72:7.

Biblia inatufundisha tena nini?

  • Watu wabaya wataondolewa katika dunia ili watu wazuri ‘wapate furaha yao tele katika wingi wa amani.’​—Zaburi 37:10, 11.

  • Mungu atamaliza vita yote. ​—Zaburi 46:8, 9.

Inawezekana kuwa na amani ya akili leo?

Watu fulani wanaamini . . . kama amani ya akili haiwezi kupatikana katika dunia yenye kujaa mateso na ukosefu wa haki. Unawaza namna gani?

Mambo Biblia inasema

Hata leo, wale wenye kuwa karibu na Mungu wanaweza kuwa na “amani ya Mungu yenye ubora unaozidi fikira zote.”​—Wafilipi 4:6, 7.

Biblia inatufundisha tena nini?

  • Mungu anaahidi kumaliza mateso na ukosefu wa haki, na ‘kufanya vitu vyote kuwa vipya.’​—Ufunuo 21:4, 5.

  • Tunaweza kupata amani ya ndani kwa kuhangaikia “uhitaji [wetu] wa kiroho.”​—Mathayo 5:3.

Ili kupata habari zaidi, ona sura ya 3 ya kitabu hiki, Biblia Inafundisha Kabisa Nini? chenye kuchapishwa na Mashahidi wa Yehova

Kinapatikana pia kwenye www.jw.org

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine