Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 1 uku. 5
  • Yehova Anatimiza Ahadi Zake

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yehova Anatimiza Ahadi Zake
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Habari Zenye Kuwa Katika Ezra
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 1 uku. 5

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | EZRA 1-5

Yehova Anatimiza Ahadi Zake

Maandishi
Waisraeli wanajenga hekalu upya katika Yerusalemu

Yehova aliahidi kurudishwa kwa ibada ya kweli katika hekalu huko Yerusalemu. Lakini, kisha Waisraeli kukombolewa kutoka Babiloni, walipata vikwazo vingi, kama vile amri ya mufalme ya kusimamisha kazi ya ujenzi. Watu wengi waliogopa kwamba kazi hiyo haingelimalizika.

  1. Mwaka wa 537 hivi M.K.Y.

    Koreshi aliruhusu hekalu ijengwe upya

  2. 3:3

    Mwezi wa saba

    Mazabahu inajengwa; zabihu zinatolewa

  3. 3:10, 11

    Mwaka wa 536 M.K.Y

    Musingi unawekwa

  4. 4:23, 24

    Mwaka wa 522 M.K.Y.

    Mufalme Artashasta alisimamisha kazi ya ujenzi

  5. 5:1, 2

    Mwaka wa 520 M.K.Y

    Zekaria na Hagai walichochea watu warudilie tena kazi ya ujenzi

  6. 6:15

    Mwaka wa 515 M.K.Y.

    Hekalu inamalizika

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine