Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 4 uku. 4
  • Ayubu Alipinga Mawazo Mabaya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Ayubu Alipinga Mawazo Mabaya
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Habari za Kufanana na Zile
  • “Umutumainie Yehova”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2022
  • Yobu Alikuwa Nani?
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
  • “Sitaacha Uaminifu-Mushikamanifu Wangu!”
    Tuige Imani Yao
  • Yobu Anaendelea Kuwa Mushikamanifu
    Biblia—Iko na Habari Gani?
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 4 uku. 4

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Ayubu Alipinga Mawazo Mabaya

Ayubu anafunga sikio lake

Leo,Shetani anatumia uwongo ili kuwavunja moyo watumishi wa Yehova. Tuone tofauti kati ya uwongo wa Shetani na namna Yehova anajisikia kabisa kama vile inaonyeshwa katika kitabu cha Ayubu. Utafute maandiko mengine katika Biblia yenye kuonyesha kwamba Yehova anakuhangaikia kabisa.

UWONGO WA SHETANI

NAMNA YEHOVA ANAJISIKIA KABISA

Mungu anawaomba watumishi wake mambo mengi sana hivi kwamba hatosheke na yenye wanafanya. Hakuna mutu mwenye anaweza kumupendeza (Ayu 4:18; 25:5)

Yehova anapendezwa sana wakati tunajikaza kuwa waaminifu (Ayu 36:5)

Mwanadamu hana faida yoyote kwa Mungu (Ayu 22:2)

• Yehova anakubali na anabariki utumishi wenye tunamutolea kwa uaminifu (Ayu 33:26; 36:11))

Mungu haangaikie uaminifu wa watu (Ayu 22:3)

Yehova anapendezwa na watu waaminifu (Ayu 36:7)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine