UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ZABURI 60-68
Tumusifu Yehova, Musikiaji wa Sala
Tusali kwa ajili ya ahadi zenye tumemutolea Yehova
Kusali kwa ajili ya ahadi zetu kutatuchochea tusizivunje
Kujitoa kwa Mungu katika sala ndiyo ahadi ya maana sana katika maisha yetu
Hana
Onyesha kama unamutumainia Yehova kwa kumufungulia moyo wako katika sala
Kusali kwa Yehova kwa moyo wetu wote kunamaanisha kumuonyesha mawazo yetu ya ndani kabisa
Ikiwa sala zetu ziko wazi, hilo litatusaidia tutambue namna Yehova anajibia sala hizo
Yesu
Yehova ni Musikiaji wa sala za watu wote wenye moyo wa upole
Yehova anasikiliza watu wa namna zote wenye wanapenda kabisa kumujua na kufanya mapenzi yake
Tunaweza kusali kwa Yehova wakati wowote
Kornelio
Mambo yenye nitataja katika sala zangu: