UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ISAYA 17-23
Kutumia Mubaya Mamlaka Kunamufanya Mutu Aipoteze
Pengine Shebna ndiye alisimamia nyumba ya Mufalme Hezekia. Alikuwa mutu wa pili kisha mufalme, na alitazamiwa kutimiza manbo mengi.
Shebna alipaswa kuhangaikia kwanza mahitaji ya watu wa Yehova
Alijitafutia utukufu
Yehova alimunyanganya Shebna mamlaka na kuipatia Eliakimu
Eliakimu alipewa “ufunguo wa nyumba ya Daudi,” wenye ulimaanisha uwezo na mamlaka
Ujiulize: Shebna angefanya nini ili kutumia mamlaka yake kwa ajili ya kusaidia wengine?