Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 12 uku. 8
  • Kutumia Mubaya Mamlaka Kunamufanya Mutu Aipoteze

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kutumia Mubaya Mamlaka Kunamufanya Mutu Aipoteze
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Nizamu—Inaonyesha Upendo wa Mungu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2018
  • Ulijua?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2019
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 12 uku. 8

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ISAYA 17-23

Kutumia Mubaya Mamlaka Kunamufanya Mutu Aipoteze

Pengine Shebna ndiye alisimamia nyumba ya Mufalme Hezekia. Alikuwa mutu wa pili kisha mufalme, na alitazamiwa kutimiza manbo mengi.

Shebna anaamuru wanaume wajenge kaburi lake

22:15, 16

  • Shebna alipaswa kuhangaikia kwanza mahitaji ya watu wa Yehova

  • Alijitafutia utukufu

22:20-22

  • Yehova alimunyanganya Shebna mamlaka na kuipatia Eliakimu

  • Eliakimu alipewa “ufunguo wa nyumba ya Daudi,” wenye ulimaanisha uwezo na mamlaka

Ujiulize: Shebna angefanya nini ili kutumia mamlaka yake kwa ajili ya kusaidia wengine?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine