UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ISAYA 34-37
Hezekia Alibarikiwa kwa Sababu ya Imani Yake
Mufalme Senakeribu wa Waashuru alituma Rabshake wake huko Yerusalemu ili kuomba Wayahudi wajitoe kwake. Waashuru walitumia njia mbalimbali ili kuwachochea Wayahudi wawaachie muji bila kupigana.
Kuwatenga. Misri haitawasaidia hata kidogo.—Isa 36:6
Kuwachochea wakuwe na mashaka. Yehova hatawapigania kwa sababu hawapendi tena.—Isa 36:7, 10
Kuwaogopesha. Hamuna uwezo wa kupigana na jeshi lenye nguvu la Waashuru.—Isa 36:8, 9
Kuwajaribu. Mukijitiisha kwa Waashuru mutakuwa na maisha ya muzuri.—Isa 36:16, 17
Hezekia alionyesha imani kubwa kwa Yehova
Alifanya yake yote ili kulinda muji usikamatwe
Alimuomba Yehova awaokoe na alitia nguvu imani ya watu wake
Alibarikiwa kwa sababu ya imani yake wakati Yehova alituma malaika moja awaue askari Waashuru 185000