Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Mwezi wa 4 uku. 4
  • Je, Una ‘Moyo wa Kumujua’ Yehova?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Je, Una ‘Moyo wa Kumujua’ Yehova?
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Je, Una ‘Moyo wa Kumujua’ Yehova?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
mwb17 Mwezi wa 4 uku. 4

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | YEREMIA 22-24

Je, Una ‘Moyo wa Kumujua’ Yehova?

Kitunga cha tini za muzuri na kitunga cha tini za mubaya

Yehova alilinganisha watu na tini

24:5

  • Waaminifu kati ya Waisraeli wenye walipelekwa Babiloni walikuwa kama tini za muzuri

24:8

  • Sedekia, Mufalme mwenye alikosa uaminifu, na wengine wenye walifanya mambo mabaya walilinganishwa na tini za mubaya

Namna gani tunaweza kupata ‘moyo wa kumujua’ Yehova?

24:7

  • Yehova atatupatia ‘moyo wa kumujua’ ikiwa tunajifunza Neno lake na kutumikisha mambo yenye tunajifunza

  • Tunapaswa kuchunguza moyo wetu na kuondoa ndani mawazo na tamaa zenye zinaweza kuharibu urafiki wetu na Yehova

Ujiulize: Niko na ‘moyo wa kumujua’ Yehova? Nifanye nini ili kuwa na moyo kama huo?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine