UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | YEREMIA 22-24
Je, Una ‘Moyo wa Kumujua’ Yehova?
Yehova alilinganisha watu na tini
Waaminifu kati ya Waisraeli wenye walipelekwa Babiloni walikuwa kama tini za muzuri
Sedekia, Mufalme mwenye alikosa uaminifu, na wengine wenye walifanya mambo mabaya walilinganishwa na tini za mubaya
Namna gani tunaweza kupata ‘moyo wa kumujua’ Yehova?
Yehova atatupatia ‘moyo wa kumujua’ ikiwa tunajifunza Neno lake na kutumikisha mambo yenye tunajifunza
Tunapaswa kuchunguza moyo wetu na kuondoa ndani mawazo na tamaa zenye zinaweza kuharibu urafiki wetu na Yehova
Ujiulize: Niko na ‘moyo wa kumujua’ Yehova? Nifanye nini ili kuwa na moyo kama huo?