MAISHA YA MUKRISTO
Yehova Hasahau Hata Kidogo Upendo Wenu
MUANGALIE VIDEO YEHOVA HASAHAU HATA KIDOGO UPENDO WENU, KISHA MUJIBIE MAULIZO HAYA:
Ni magumu gani inatokea wakati wa uzee?
Kwa kawaida, ni sifa gani za muzuri mutu anakuwa nazo wakati anazeeka?
Kama umezeeka, namna gani Mambo ya Walawi 19:32 na Methali 16:31 inakutia moyo?
Yehova anaona namna gani watumishi wake wenye kuzeeka na wenye hawawezi tena kufanya mengi katika kazi yake?
Yehova anapenda tufanye nini hata wakati tumezeeka?
Namna gani Wakristo wenye kuzeeka wanaweza kutia moyo vijana?
Ndugu ao dada mwenye kuzeeka alifanya nini ili kukutia moyo hivi karibuni?