UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | EZEKIELI 1-5
Ezekieli Alifurahia Kutangaza Ujumbe wa Mungu
Katika maono, Yehova alimupatia Ezekieli kitabu cha kukunjwa na kumuambia akikule. Maono hayo yalimaanisha nini?
Ezekieli alipaswa kujua muzuri kabisa ujumbe wa Mungu. Kufikiri sana juu ya maneno ya kitabu hicho cha kukunjwa kulipaswa kugusa kabisa moyo wake na kumuchochea ahubiri
Kitabu cha kukunjwa kilikuwa kitamu kwa sababu Ezekieli aliendelea kufurahia mugao wake