Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Mwezi wa 6 uku. 5
  • Ezekieli Alifurahia Kutangaza Ujumbe wa Mungu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Ezekieli Alifurahia Kutangaza Ujumbe wa Mungu
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Namna Yehova Anatusaidia Kutimiza Kazi Yetu ya Kuhubiri
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2022
  • “Fasiria Hekalu”
    Ibada Safi ya Yehova Inarudishwa Tena!
  • “Sasa Mwisho Uko Juu Yako”
    Ibada Safi ya Yehova Inarudishwa Tena!
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
mwb17 Mwezi wa 6 uku. 5

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | EZEKIELI 1-5

Ezekieli Alifurahia Kutangaza Ujumbe wa Mungu

Katika maono, Yehova alimupatia Ezekieli kitabu cha kukunjwa na kumuambia akikule. Maono hayo yalimaanisha nini?

2:9–3:2

  • Ezekieli alipaswa kujua muzuri kabisa ujumbe wa Mungu. Kufikiri sana juu ya maneno ya kitabu hicho cha kukunjwa kulipaswa kugusa kabisa moyo wake na kumuchochea ahubiri

3:3

  • Kitabu cha kukunjwa kilikuwa kitamu kwa sababu Ezekieli aliendelea kufurahia mugao wake

Kisha kula kitabu cha kukunjwa chenye kufananisha ujumbe wa Mungu, Ezekieli anazungumuza na wanaume wa Israeli

Kujifunza Biblia, na kutafakari katika sala kunaweza kunichochea nifanye nini?

Ni nini itanisaidia nifurahie kazi ya kuhubiri?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine