MAISHA YA MUKRISTO
Unajisamehe Wewe Mwenyewe?
Inaweza kuwa nguvu kujisamehe sisi wenyewe makosa yenye tulifanya zamani hata kama Yehova amekwisha kutusamehe. Jambo hilo lilizungumuziwa katika hotuba na video moja kwenye mukusanyiko wa eneo wa 2016 “Endelea Kuwa Mushikamanifu kwa Yehova!” Muangalie tena video hiyo kwa kutumia JW Library, na kisha mujibie maulizo haya:
Sonya alitengwa kwa miaka ngapi?
Wazee walimusomea Sonya andiko gani, na namna gani andiko hilo lilimusaidia?
Ndugu na dada walimutendea Sonya namna fani wakati alirudishwa?
Sonya aliendelea kujisikia namna gani na baba yake alimusaidia namna gani?