UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | EZEKIELI 24-27
Unabii juu ya Tiro Unatia Nguvu Imani Yetu Katika Neno la Yehova
Maandishi
Maandishi
Kitabu cha Ezekieli kimetabiri hata mambo madogo-madogo juu ya kuharibiwa kwa Tiro.
Wakati kidogo kisha 607 Mbele ya Kuzaliwa kwa Yesu, Ni nani aliharibu Tiro inchi?
Katika mwaka wa 332 Mbele ya Kuzaliwa kwa Yesu, Ni nani alitumia mabomoko ya muji wa Tiro ili kuvuka maji na kuharibu kisiwa cha Tiro?