MAISHA YA MUKRISTO
Tuonyeshe Sifa Zenye Kumupendeza Mungu—Ujasiri
SABABU GANI NI JAMBO LA LAZIMA:
Inaomba ujasiri ili kuhubiri.—Mdo 5:27-29, 41, 42
Ujasiri wetu utajaribiwa wakati wa ziki kubwa.—Mt 24:15-21
Kuogopa mwanadamu kunaleta matokeo ya mubaya.—Yer 38:17-20; 39:4-7
NAMNA YA KUFANYA:
Waza sana juu ya mambo yenye Yehova alifanya ili kuokoa watu wake.—Kut 14:13
Umutumainie Yehova.—Zab 118:6
Katika kazi yangu ya kuhubiri, ninapaswa kuwa na ujasiri katika mambo gani?
MUANGALIE VIDEO EPUKA MAMBO YENYE KUHARIBU USHIKAMANIFU—KUOGOPA MWANADAMU, KISHA MUJIBIE MAULIZO HAYA:
Sababu gani ujasiri ni wa lazima sana katika kazi yetu ya kuhubiri?
Methali 29:25 inazungumuzia mambo gani mbili tofauti?
Sababu gani tunapaswa kuwa na ujasiri tangu leo?