UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | EZEKIELI 35-38
Gogu wa Magogu Ataharibiwa Karibuni
Biblia inaeleza namna mambo yatafuatana mbele na kisha Gogu wa Magogu kuharibiwa.
Ziki kubwa itaanza na kuharibiwa kwa nini?
Watu wa Yehova watashambuliwa na nani?
Yehova ataharibu Gogu wa Magogu kwenye vita gani?
Kristo ataanza utawala wake wa miaka ngapi?
Namna gani ninaweza kujitayarisha kiroho kwa ajili ya shambulio la Gogu wa Magogu?