UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | YOELI 1-3
“Wana Wenu na Binti Zenu Watatoa Unabii”
Wakristo Watiwa-mafuta wanafanya kazi ya kutoa unabii. Wanazungumuzia ‘mambo makubwa ya Mungu’ na wanatangaza “habari njema ya Ufalme.” (Mdo 2:11, 17-21; Mt 24:14) Kondoo wengine wanawasaidia kufanya kazi hiyo
‘Kuliitia jina la Yehova’ maana yake nini?
Kujua jina hilo
Kuliheshimia jina hilo
Kumutegemea na kumutumainia mwenye jina hilo
Ujiulize hivi: ‘Namna gani ninaweza kusaidia Wakristo Watiwa-mafuta katika kazi yao ya kutoa unabii?’