Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Mwezi wa 10 uku. 8
  • “Wana Wenu na Binti Zenu Watatoa Unabii”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • “Wana Wenu na Binti Zenu Watatoa Unabii”
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tutaenda Pamoja na Ninyi
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2020
  • Tunapenda ‘Kuenda Pamoja’ na Wewe
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2016
  • Roho Inatoa Ushahidi Pamoja na Roho Yetu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2016
  • Jina la Mungu
    Amuka!—2017
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
mwb17 Mwezi wa 10 uku. 8

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | YOELI 1-3

“Wana Wenu na Binti Zenu Watatoa Unabii”

2:28, 29

Wakristo Watiwa-mafuta wanafanya kazi ya kutoa unabii. Wanazungumuzia ‘mambo makubwa ya Mungu’ na wanatangaza “habari njema ya Ufalme.” (Mdo 2:11, 17-21; Mt 24:14) Kondoo wengine wanawasaidia kufanya kazi hiyo

Kwenye Pentekoste Mukristo Mutiwa-mafuta “anatoa unabii” kwa kuhubiri “habari njema ya ufalme” kwa watu wa rangi ingine ya ngozi

2:32

‘Kuliitia jina la Yehova’ maana yake nini?

  • Kujua jina hilo

  • Kuliheshimia jina hilo

  • Kumutegemea na kumutumainia mwenye jina hilo

Ujiulize hivi: ‘Namna gani ninaweza kusaidia Wakristo Watiwa-mafuta katika kazi yao ya kutoa unabii?’

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine