Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Mwezi wa 2 uku. 3
  • Mufano wa Ngano na Magugu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mufano wa Ngano na Magugu
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • Habari za Kufanana na Zile
  • “Tazama! Mimi Nipo Pamoja Nanyi Siku Zote”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Mifano Mbalimbali Kuhusu Ufalme
    Yesu—Ni Njia, Kweli, na Uzima
  • ‘Ufalme Wako Uje’
    Ufalme wa Mungu Unatawala!
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
mwb18 Mwezi wa 2 uku. 3

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MATHAYO 12-13

Mufano wa Ngano na Magugu

Yesu alitumia mufano wa ngano na magugu ili kuonyesha ni wakati gani na namna gani angeanza kuchagua na kukusanya jamii yote ya ngano ya Wakristo watiwa-mafuta; kazi ya kupanda ilianza katika mwaka wa 33.

Muchoro wenye kuonyesha kupanda, kuvuna na kukusanya katika depo

13:24

‘Mutu alipanda mbegu ya muzuri katika shamba lake’

  • Mupandaji: Yesu Kristo

  • Mbegu ya muzuri inapandwa: Wanafunzi wa Yesu wanatiwa mafuta kwa roho takatifu

  • Shamba: Ulimwengu wa wanadamu

13:25

‘Wakati watu walikuwa wamelala usingizi, adui yake akakuja na kupanda magugu’

  • Adui: Shetani Ibilisi

  • Watu walikuwa wamelala: Kifo cha mitume

13:30

‘Muache zote zikomae pamoja mupaka wakati wa mavuno’

  • Ngano: Wakristo watiwa-mafuta

  • Magugu: Wakristo wa uongo

‘Mukusanye magugu kwanza . . . ; kisha mukusanye ngano’

  • Watumwa/​wavunaji: Malaika

  • Magugu yanakusanywa: Wakristo wa uongo wanatenganishwa na Wakristo wa kweli

  • Kukusanya na kutia katika depo: Wakristo watiwa-mafuta wanakusanywa katika kutaniko

Wakati mavuno ilianza, ni nini ilionyesha wazi tofauti kati ya Wakristo wa kweli na wa uongo?

Kuelewa maana ya mufano huo kunaniletea faida gani?

ULIJUA?

Ngano na magugu vinakomaa pamoja

Pengine, magugu yenye Yesu anataja katika mufano wake ilikuwa majani fulani yenye sumu yenye kufanana sana na ngano wakati inaanza kuota. Kadiri ngano na magugu vinaendelea kukomaa pamoja, mizizi yake inachangana-changana, na hilo linafanya ikuwe nguvu kuongoa magugu bila kuharibu ngano. Wakati magugu inakomaa sana, inakuwa tofauti kabisa na ngano na ni wakati huo inaweza kuongolewa bila kuharibu ngano.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine