UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MARKO 5-6
Yesu Iko na Uwezo wa Kufufua Wapendwa Wetu Wenye Wamekufa
Tunahuzunika sana wakati mupendwa wetu anakufa; hilo halimaanishe kama hatuamini ufufuo (Mwa 23:2)
Kufikiri sana juu ya habari za ufufuo zenye kuwa katika Biblia kutafanya tuamini kabisa ufufuo wenye kuja
Unangojea kwa hamu kukaribisha nani wakati wa ufufuo?
Unawaza mutajisikia namna gani wakati mutakutana tena?