Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Mwezi wa 5 uku. 4
  • Maono Yenye Kutia Imani Nguvu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Maono Yenye Kutia Imani Nguvu
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Kugeuzwa Sura: Kristo Anaonekana Katika Utukufu
    Yesu—Ni Njia, Kweli, na Uzima
  • Alibaki Mushikamanifu Ijapokuwa Majaribu
    Tuige Imani Yao
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
mwb18 Mwezi wa 5 uku. 4

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MARKO 9-10

Maono Yenye Kutia Imani Nguvu

9:1-7

Petro, Yakobo, na Yohana wanajionea namna Yesu anageuka sura

Wakati Yesu aligeuka sura, alimusikia Baba yake wa mbinguni anatangaza kama anamukubali; wazia namna Yesu alijisikia. Ni wazi kama hilo lilimupatia nguvu ya kuvumilia mateso yenye ilikuwa karibu kumupata. Maono hayo iliwachochea sana Petro, Yakobo na Yohana. Iliwahakikishia kama Yesu alikuwa kabisa Masiya, na kama walipaswa kumusikiliza. Miaka 32 hivi kisha maono hayo, Petro aliendelea kuikumbuka na namna ilitia imani yake nguvu katika ‘neno la unabii.’​—2Pet 1:16-19.

Hata kama hatukujionea maono hayo yenye kushangaza sana, tunajionea namna inatimia. Yesu anatawala, ni Mufalme mwenye mamlaka. Hivi karibuni, ‘atakamilisha ushindi wake,’ na atatuingiza katika ulimwengu mupya wa haki.​—Ufu 6:2.

Namna gani imani yako imetiwa nguvu kwa kujionea namna unabii mbalimbali wa Biblia unatimia?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine