Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Mwezi wa 5 uku. 8
  • “Kile Chenye Mungu Ameunganisha . . .”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • “Kile Chenye Mungu Ameunganisha . . .”
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Heshimia “Kile Chenye Mungu Ameunganisha”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2018
  • Maulizo ya Wasomaji Wetu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2022
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
mwb18 Mwezi wa 5 uku. 8
Mwanaume na mwanamuke wanakamatana mukono

MAISHA YA MUKRISTO

“Kile Chenye Mungu Ameunganisha . . .”

Sheria ya Musa ilimuomba mwanaume mwenye alifikiria kuvunja ndoa atayarishe cheti cha kuvunja ndoa chenye kukubaliwa na sheria. Mupango huo ulifanya watu wasiamue haraka-haraka kuvunja ndoa. Lakini, wakati Yesu alikuwa katika dunia, viongozi wa dini walifanya ikuwe mwepesi sana kuvunja ndoa. Wanaume walivunja ndoa kwa sababu yoyote. (“cheti cha kuvunja ndoa”, kwa ajili ya funzo kuhusu Mk 10:4, nwtsty-E; “kuvunja ndoa na muke wake”, “anafanya uzinzi zidi yake” kwa ajili ya funzo Mk 10:11, nwtsty-E) Yesu aliwakumbusha kama ni Yehova aliruhusu mupango wa ndoa na kuuanzisha. (Mk 10:2-12) Bibi na bwana wanapaswa kuwa “mwili moja” na kuendelea kuishi pamoja. Kulingana na kitabu cha Mathayo, sababu moja tu yenye kukubaliwa na Maandiko ya kuvunja ndoa ni “uasherati.”​—Mt 19:9.

Leo, watu wengi hawaone ndoa kama vile Yesu aliiona, lakini wanaiona kama vile Mafarisayo waliiona. Wakati magumu inatokea, watu wa ulimwengu wanakimbilia kuvunja ndoa. Lakini, Bibi na bwana Wakristo wanakamata naziri yao ya ndoa kwa uzito na wanajikaza kumaliza matatizo yao kwa kutumikisha kanuni za Biblia. Kisha kuangalia video Kuwa na Upendo na Heshima Kunaunganisha Familia, mujibie maulizo haya:

  • Mutu anasoma Biblia; bwana anasikiliza wakati bibi yake anazungumuza naye; picha ya ndoa yenye kupasuliwa

    Namna gani unaweza kutumia Methali 15:1 katika ndoa yako, na sababu gani ni jambo la maana?

  • Kama unatumikisha Methali 19:11, namna gani unaweza kuepuka matatizo?

  • Kama ndoa yako inataka kuvunjika, kuliko kukimbilia kuivunja, unapaswa kujiuliza maulizo gani?

  • Kama unatumikisha Mathayo 7:12, namna gani unaweza kuwa bwana ao bibi muzuri?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine