UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MARKO 11-12
Ametoa Zaidi ya Wote
Katika habari ya mujane maskini, ni mambo gani inanisaidia nijifunze somo ine zenye kuwa hapa chini?
Yehova anapendezwa sana na bidii yetu
Tufanye yote yenye tunaweza katika kazi ya Yehova
Tusilinganishe mambo yenye tunaweza kufanya na ile yenye wengine wanaweza kufanya, ao na ile yenye tulikuwa na uwezo wa kufanya zamani
Maskini hapaswe kujizuia kutoa kwa sababu zawadi yake ni kidogo sana
mejifunza mambo ingine gani?