Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Mwezi wa 8 uku. 4
  • Tujifunze Kupitia Mufano wa Mina Kumi

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tujifunze Kupitia Mufano wa Mina Kumi
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Mufano wa Talanta Unatufundisha Nini?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Mufano Wake wa Mina Kumi
    Yesu—Ni Njia, Kweli, na Uzima
  • Mufano wa Talanta—Somo Kuhusu Bidii
    Yesu—Ni Njia, Kweli, na Uzima
  • ‘Utaendelea Kukesha’?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
mwb18 Mwezi wa 8 uku. 4

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Tujifunze Kupitia Mufano wa Mina Kumi

19:12-24

Bwana, watumwa, na mifuko ya feza

Mambo mbalimbali katika mufano huo inafananisha nini?

  1. Bwana anafananisha Yesu

  2. Watumwa wanafananisha wanafunzi watiwa-mafuta wa Yesu

  3. Feza zenye bwana alipatia watumwa zinafananisha pendeleo kubwa la kufanya wanafunzi

Mufano huu unatuonya kuhusu mambo yenye inaweza kutokea kama wanafunzi watiwa-mafuta wa Kristo wanaanza kuwa na tabia za mutumwa muovu. Yesu anataka wanafunzi wake watumie wakati wao, nguvu zao, na hata mali yao yote ili kufanya wanafunzi wengi zaidi.

Namna gani ninaweza kuiga Wakristo watiwa-mafuta waaminifu katika kazi ya kufanya wanafunzi?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine