Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Mwezi wa 11 uku. 4
  • Waliendelea Kusema Neno la Mungu Bila Woga

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Waliendelea Kusema Neno la Mungu Bila Woga
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Yesu Alipenda Watu
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
mwb18 Mwezi wa 11 uku. 4
Petro na Yohana wanasema na kuhani mukubwa na wengine bila woga

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MATENDO 4-5

Waliendelea Kusema Neno la Mungu Bila Woga

4:5-13, 18-20, 23-31

Ni nini iliwasaidia mitume wakuwe walimu wazuri? Ni nini iliwawezesha kusema kwa usadikisho na bila woga? “Walikuwa pamoja na Yesu,” Mwalimu Mukubwa zaidi, na walijifunza mambo mingi. (Mdo 4:13) Ni mambo gani yenye mufano wa Yesu unaweza kutufundisha ili tukuwe walimu wazuri wa Biblia?

Patanisha maandiko yenye kuwa hapa chini na mambo yenye tunajifunza.

MAANDIKO

MAMBO YENYE TUNAJIFUNZA

  • Mt 6:33; Mk 6:31-34

  • Mt 10:18-20; 21:23-27

  • Mt 21:15, 16; Yoh 7:16

  • Mt 21:22; Lu 22:39-41

  • Umutegemee Yehova

  • Mafundisho yako itegemee Maandiko

  • Usiache watu wakuogopeshe

  • Tia mambo ya Mungu mbele ya faida zako

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine