UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MATENDO 4-5
Waliendelea Kusema Neno la Mungu Bila Woga
Ni nini iliwasaidia mitume wakuwe walimu wazuri? Ni nini iliwawezesha kusema kwa usadikisho na bila woga? “Walikuwa pamoja na Yesu,” Mwalimu Mukubwa zaidi, na walijifunza mambo mingi. (Mdo 4:13) Ni mambo gani yenye mufano wa Yesu unaweza kutufundisha ili tukuwe walimu wazuri wa Biblia?