Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Mwezi wa 12 uku. 3
  • Barnaba na Paulo Wanafanya Wanafunzi mu Maeneo ya Mbali

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Barnaba na Paulo Wanafanya Wanafunzi mu Maeneo ya Mbali
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • Habari za Kufanana na Zile
  • “Kujaa na Furaha na Roho Takatifu”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” juu ya Ufalme wa Mungu
  • ‘Kusema Bila Woga kwa Mamlaka ya Yehova’
    “Kutoa Ushahidi Kamili” juu ya Ufalme wa Mungu
  • Ukristo Unaenea Katika Mataifa Mingi
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
  • ‘Kutia Makutaniko Nguvu
    “Kutoa Ushahidi Kamili” juu ya Ufalme wa Mungu
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
mwb18 Mwezi wa 12 uku. 3
Paulo na Barnaba wako mbele ya Sergio Paulo

Paulo na Barnaba wako mbele ya Sergio Paulo

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MATENDO 12-14

Barnaba na Paulo Wanafanya Wanafunzi mu Maeneo ya Mbali

13:12, 48; 14:1, 21, 22

Hata kama walipata upinzani wa nguvu sana, Barnaba na Paulo walitumika sana ili kusaidia wapole wakuwe Wakristo

  • Walihubiria watu wa namna zote

  • Walitia moyo wanafunzi wapya “wabakie katika imani”

Hatuwezi kujua ni nani iko na “muelekeo wenye kufaa kwa ajili ya uzima wa milele,” kama hatujamuhubiria, pengine hata mara mingi. Njo maana tunahubiriaka kila mutu bila ubaguzi.

Hii juma, naweza kuanzisha funzo ya Biblia na nani?

Namna gani naweza kutia moyo Wakristo wenzangu ili “wabakie katika imani”?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine