Paulo na Barnaba wako mbele ya Sergio Paulo
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MATENDO 12-14
Barnaba na Paulo Wanafanya Wanafunzi mu Maeneo ya Mbali
Hata kama walipata upinzani wa nguvu sana, Barnaba na Paulo walitumika sana ili kusaidia wapole wakuwe Wakristo
Walihubiria watu wa namna zote
Walitia moyo wanafunzi wapya “wabakie katika imani”