UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | 2 WAKORINTO 1-3
Yehova Njo “Mungu wa Faraja Yote”
Njia moja yenye Yehova anatumia juu ya kutufariji ni kutaniko la Kikristo. Ni mambo gani tunaweza kufanya juu ya kufariji watu wenye wamefiwa?
Tuwasikilize bila kuwakatiza
‘Tulie pamoja na wale wenye kulia.’—Ro 12:15
Tuwatumie karte yenye iko na maneno ya kutia moyo, tuwaandikie e-mail, ao ujumbe ku telefone.—w17.07 uku. 15, kisanduku
Tusali nao na kwa ajili yao