Wanakaribisha mugeni ku Ukumbusho
Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
●○○ KUMUTEMBELEA MUTU MARA YA KWANZA
○●○ KUMURUDILIA MUTU MARA YA KWANZA
Ulizo: Juu ya nini Yesu alikufa?
Andiko: Mt 20:28
Ulizo la Kuacha: Namna gani tunaweza kuonyesha shukrani yetu kwa ajili ya bei ya ukombozi?
○○● KUMURUDILIA MUTU MARA YA PILI
Ulizo: Namna gani tunaweza kuonyesha shukrani yetu kwa ajili ya bei ya ukombozi?
Andiko: Yoh 17:3
Ulizo la Kuacha: Mikutano ya Mashahidi wa Yehova inafanyikaka je?
KAMPANYE YA KUALIKA WATU KU UKUMBUSHO (Tarehe 23/03–19/04):
Tunakualika ku tukio ya maana sana. Hii njo mwaliko yako. Siku ya Tano, tarehe 19 Mwezi wa 4, watu mingi watakusanyika mu dunia yote juu ya kukumbuka kifo cha Yesu Kristo. Utaona fasi na saa ku mwaliko yako. Tena, tunakualika ku hotuba yenye kichwa “Tujikaze Sana Kupata Uzima wa Kwelikweli!” itatolewa juma moja mbele ya Ukumbusho.
Ulizo la Kuacha Kama Mutu Anapendezwa: Juu ya nini Yesu alikufa?